Deogratius Mayika

Mkoa
Mbeya
Mahali
Chunya
Nahitaji

Mimi ni mchimbaji halali wa dhahabu mwenye vibali vyote vya serikali (PMLs).

Mtaji wa kuendesha uchimbaji unasuasua hivyo ninatafuta mshirika (investor) atakayechangia mtaji wa kuendeleza shughuli za uchimbaji ikiwemo chakula cha wafanyakazi vifaa na mishahara.

Mapato tutagawana kwa asilimia tutakazokubaliana kupitia makubaliano rasmi ya kisheria.

Ikiwa una nia ya kuwekeza wasiliana nami, karibu tufanye kazi.

Mawasiliano
guest
0 Comments
Inline Feedbacks
View all comments
Huduma
Tangaza
Mali